FORM FIVE SELECTION/ JINSI YA KUPATA MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA TANO 2022
Waziri wa Tamisemi, Innocent Bashungwa amesema jumla ya wanafunzi 153,219 wamechaguliwa kujiunga na kidato cha tano na vyuo vya ualimu na elimu ya ufundi kwa mwaka 2022. Kati ya hao, wanafunzi wa 90,825 wamechaguliwa kujiunga na kidato cha tano katika shule mpya 22 za Serikali. Huku akibainisha kuwa kati yao wenye mahitaji maalumu 481. “Wanafunzi
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed